Natamani Kipindupindu kifike Ikulu
January 19, 2006Nawajibika kuomba Radhi
January 19, 2006Kimya wenzangu!
January 3, 2006Igizo limeisha, tungoje miaka mingine mitano
December 17, 2005|
Mchezo wa kuigiza umekwisha. Miaka mingine mitano wananchi watalishwa tena maneno, pilau, khanga, sukari watauza tena kura zao. Mchezo unaendelea. Lakini mchezo huu utaendelea hadi lini? Na watanzania tulivyo hatutawauliza wale walioshinda chochote hata kama hawatatimiza moja kati ya walioahidi. Lakini hata hivyo ni wangapi tunakumbuka hata ahadi zenyewe? Pilau na khanga na fulana zinatosha. Jamaa mmoja kaniacha hoi sana. Ameniambia jinsi ambavyo bado kuna kibarua kigumu mbele yetu. Alishuhudia watu wakibishana baada ya kampeni. Hawakubishana chochote kuhusu yaliyozungumzwa kwenye mkutano wa kampeni. Ubishi ulikuwa juu ya vifaa na magari ya vyama vyao. Mmoja akiwa anasema umeona spika za chama chetu? Ni nzito bwana si mchezo. Mwingine akamwambia acha utani, uliona gari walilokuwa wakitumia wagombea wa chama changu walipokuja hapa? Kazi ipo. Kwa kweli kama tunataka mabadiliko inabidi tusilale usingizi. Tupambane kweli. |
Bendera ya Uingereza yafanyani katika tovuti ya CHADEMA?
November 23, 2005UKIMWI bado ni tishio
November 22, 2005Kiswahili kitolewe utumwani kwanza
November 18, 2005Uvutaji na unywaji wa pombe na Saratani tena
November 18, 2005Saratani yazidi kuongezeka shauri ya kubwia pombe
November 16, 2005Uhuru si urithi
November 15, 2005Nimekutana na nukuu hii:
“No people are really free until they become the instrument of their own liberation. Freedom is not a legacy that is bequeathed from one generation to another. Each generation must take and maintain its freedom with its own hands.” By John Henrik Clarke
Kila kizazi inabidi kipambane kujipatia uhuru wake.