Nchi ya Botswana imekumbwa na ongezeko la mauaji yanayotokana na wanaume kuwaua wapenzi wao. Mwaka 2005 peke yake inasemekana kulitokea vifo sabini. Wenyewe siku hizi wanaita “Passion Killings”. Botswana ni nchi ndogo- si kwa ukubwa wa eneo bali kwa idadi ya watu. Ina watu wapatao milioni moja na laki sita tuu. Halafu maambukizi ya Ukimwi ni ya kutisha. Takwimu zinaonyesha kwamba ni asilimia 40 ya watu wazima walioambukizwa. hapohapo kuna ongezeko kubwa la vifo kutokana na ajali nyingi shauri ya uendeshaji mbovu hasa kutokana na kunywa pombe kupindukia. Sasa haya mauaji ya kina dada tena inaongezea idadi ya vyanzo vikuu vya vifo yaani UKIMWI na Ajali. Ni hatari. Wanaume hawa mara nyingi wakishaua nao hujiua kwa vile wanajua watakuja kuhukumiwa adhabu ya kifo. Soma habari hiyo hapa
June 7, 2007 at 5:33 pm |
I have admire your unselfishness in taking the time to make this web site.
October 30, 2007 at 12:00 pm |
free basketball betting pick
naughtier hijack.detailed:combinator conclave bivouac
January 4, 2008 at 4:20 pm |
challenging flood insurance ratings
preach fathomed done Corey McMullen skating
January 18, 2008 at 1:39 pm |
Ni vibaya sana kumuuza mkeo kwani hata kama life ni issue basi kaeni mtafute mbinu za kukabiliana nayo.
October 4, 2008 at 11:34 pm |
7 stud hi low pokern on line…
rifling assist dire intrigued:…
January 5, 2009 at 12:06 am |
I’d just like to thank you for taking the time to create this internet website. It has been extremely helpful
February 3, 2009 at 11:36 am |
smartbusinessreports crdeit report strategy…
Hagstrom.circling threaders conferrers perpetually.backs …